-
1 Samweli 3:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Basi Yehova akaita tena mara ya tatu: “Samweli!” Naye akaamka, akaenda kwa Eli na kusema: “Mimi hapa, kwa maana haikosi kwamba umeniita.”
Naye Eli akaanza kutambua kwamba Yehova ndiye aliyekuwa akimwita yule mvulana.
-