Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Yehova akaita tena mara ya tatu: “Samweli!” Naye akaamka, akaenda kwa Eli na kusema: “Mimi hapa, kwa maana haikosi kwamba umeniita.”

      Naye Eli akaanza kutambua kwamba Yehova ndiye aliyekuwa akimwita yule mvulana.

  • Zaburi 110:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+

      Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,

      Una kundi lako la vijana kama matone ya

      umande.+

  • Mathayo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mara moja wakaziacha nyavu,+ wakamfuata.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki