Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Yethro akasema: “Na abarikiwe Yehova, ambaye amewakomboa kutoka katika mkono wa Misri na kutoka katika mkono wa Farao, na ambaye amewakomboa watu kutoka katika mkono wa Misri.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na katika siku ya nne wakakutana pamoja kwenye nchi tambarare ya chini ya Baraka, kwa maana walimbariki Yehova hapo.+ Ndiyo sababu walipaita mahali hapo jina+ Nchi Tambarare ya Chini ya Baraka—mpaka leo hii.

  • Zaburi 145:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mchana kutwa nitakubariki,+

      Nami nitalisifu jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki