26 Mungu akaendelea kusema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kwa sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.”+
22 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Tazama, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya,+ na sasa ili asije akanyoosha mkono wake achukue matunda kutoka pia katika mti wa uzima+ na kula na kuishi mpaka wakati usio na kipimo,—”