Kutoka 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+ Zaburi 78:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Aliipasua bahari, ili awaruhusu kuvuka,+Naye akayafanya maji yasimame kama bwawa.+
21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+