17 Mimi nami, tazama, nitaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi,+ ili waingie kuwafuatilia wao nami nijipatie utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi.+
17 Kwa maana Andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki, ili kuhusiana na wewe nionyeshe nguvu zangu, na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+