7 Hata Waebrania wakavuka Yordani+ kwenda katika nchi ya Gadi+ na Gileadi. Lakini Sauli alikuwa bado katika Gilgali, na watu wote wakamfuata wakitetemeka.+
2 Na Sauli alikuwa akikaa mipakani mwa Gibea+ chini ya mkomamanga ulio katika Migroni; na watu waliokuwa pamoja naye walikuwa karibu wanaume mia sita.+