Mwanzo 47:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yosefu akamwingiza Yakobo baba yake, akamjulisha kwa Farao, naye Yakobo akambariki Farao.+ Ruthu 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+ 1 Samweli 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwishowe Samweli akamjia Sauli, naye Sauli akaanza kumwambia: “Umebarikiwa+ na Yehova. Nimelitimiza neno la Yehova.”+ 1 Samweli 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wakati huohuo, mmoja wa vijana akaleta habari kwa Abigaili, mke wa Nabali, akisema: “Tazama! Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani ili kumtakia bwana wetu mema, lakini akawakemea kwa sauti kali.+
4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+
13 Mwishowe Samweli akamjia Sauli, naye Sauli akaanza kumwambia: “Umebarikiwa+ na Yehova. Nimelitimiza neno la Yehova.”+
14 Na wakati huohuo, mmoja wa vijana akaleta habari kwa Abigaili, mke wa Nabali, akisema: “Tazama! Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani ili kumtakia bwana wetu mema, lakini akawakemea kwa sauti kali.+