Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 47:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Yosefu akamwingiza Yakobo baba yake, akamjulisha kwa Farao, naye Yakobo akambariki Farao.+

  • Ruthu 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+

  • 1 Samweli 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwishowe Samweli akamjia Sauli, naye Sauli akaanza kumwambia: “Umebarikiwa+ na Yehova. Nimelitimiza neno la Yehova.”+

  • 1 Samweli 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na wakati huohuo, mmoja wa vijana akaleta habari kwa Abigaili, mke wa Nabali, akisema: “Tazama! Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani ili kumtakia bwana wetu mema, lakini akawakemea kwa sauti kali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki