17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
4 Basi wakatoka, wao na kambi zao zote pamoja nao, hesabu kubwa sana ya watu kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ na farasi+ wengi sana na magari ya vita.
12 Sasa Midiani na Amaleki na watu wote wa Mashariki+ walikuwa wamejazana katika ile nchi tambarare ya chini, wengi sana kama nzige;+ na ngamia+ zao hawakuwa na hesabu, walikuwa wengi sana kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari.