1 Wakorintho 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kila mmoja na aendelee kutafuta, si faida yake mwenyewe,+ bali ile ya yule mtu mwingine.+ Wagalatia 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wao wanawatafuta ninyi kwa bidii,+ si kwa uzuri, bali wanataka kuwazuia ninyi kutoka kwangu, ili mwatafute wao kwa bidii.+ 2 Timotheo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo+ wa sasa, naye ameenda Thesalonike; Kresensi ameenda Galatia,+ Tito ameenda Dalmatia.
17 Wao wanawatafuta ninyi kwa bidii,+ si kwa uzuri, bali wanataka kuwazuia ninyi kutoka kwangu, ili mwatafute wao kwa bidii.+
10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo+ wa sasa, naye ameenda Thesalonike; Kresensi ameenda Galatia,+ Tito ameenda Dalmatia.