18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.
3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+
18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.