Mathayo 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msimpinge yeye aliye mwovu; bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu+ lako la kuume, mgeuzie lile lingine pia. Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+
39 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msimpinge yeye aliye mwovu; bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu+ lako la kuume, mgeuzie lile lingine pia.
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+