Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mwenye furaha ni mtu anayehofu sikuzote,+ lakini yeye anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+

  • Luka 22:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini akasema: “Ninakuambia wewe, Petro, Jogoo hatawika leo mpaka uwe umekana mara tatu kuwa hunijui.”+

  • Waroma 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Vema! Kwa sababu ya ukosefu wao wa imani+ yalikatwa, lakini wewe umesimama kwa imani.+ Uache kuwa na mawazo ya kujivuna,+ bali uogope.+

  • Wagalatia 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akina ndugu, hata mtu akijikwaa katika kosa+ fulani kabla ya yeye kulijua, ninyi mlio na sifa za kustahili kiroho+ jaribuni kumrekebisha upya mtu huyo katika roho ya upole,+ huku kila mmoja wenu akiendelea kujiangalia,+ ili wewe pia usije ukajaribiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki