Waroma 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hivyo, basi, na tufuatilie mambo yanayofanya kuwe na amani+ na mambo ambayo ni ya kujengana.+ Waroma 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kila mmoja wetu na ampendeze jirani yake katika yaliyo mema kwa ajili ya kujengwa kwake.+