1 Wakorintho 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana yeyote akikuona wewe, uliye na ujuzi, ukiwa umeketi kwenye mlo katika hekalu la sanamu, je, dhamiri ya huyo aliye dhaifu haitajengwa kufikia hatua ya kula vyakula vilivyotolewa kwa sanamu?+
10 Kwa maana yeyote akikuona wewe, uliye na ujuzi, ukiwa umeketi kwenye mlo katika hekalu la sanamu, je, dhamiri ya huyo aliye dhaifu haitajengwa kufikia hatua ya kula vyakula vilivyotolewa kwa sanamu?+