Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Vivyo hivyo acheni nuru+ yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mazuri+ na kumpa utukufu+ Baba yenu aliye mbinguni.

  • Wakolosai 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na lolote lile mnalofanya kwa neno au kwa tendo,+ fanyeni kila jambo katika jina la Bwana Yesu,+ mkimshukuru+ Mungu Baba kupitia yeye.

  • 1 Petro 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama yeyote akisema, na aseme kana kwamba ni maneno matakatifu+ ya Mungu; kama yeyote akihudumu,+ na ahudumu kama anayetegemea nguvu ambazo Mungu hutoa;+ ili katika mambo yote Mungu atukuzwe+ kupitia Yesu Kristo. Utukufu+ na nguvu ni zake milele na milele. Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki