Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Korintho—Jiji la Bahari Mbili
    Amkeni!—1991 | Novemba 8
    • Mitazamo-Nyuma Yetu

      Tukiwa tunatembea katika Njia ya Lechaeum, iliyokuwa njia kuu ya kale iliyounganisha bandari ya magharibi na jiji lenyewe, kiongozi wetu akaelekeza kwenye magofu ya majumba ya serikali, mahekalu, maduka, soko la nyama, na choo cha umma, zote zikiwa zimechangamana ovyo ovyo bila mpangilio wowote.a Hata hivyo, badala yake, kwa sababu ya ukosefu huo wa mpangilio mzuri wa mji, tulianza kuhisi hali maisha ya barabara yenye utendaji ambayo lazima Paulo alipata kuona— umati wenye shughuli na wapiga domo wasio na la kufanya, wenye maduka, watumwa, na wafanya biashara.

  • Korintho—Jiji la Bahari Mbili
    Amkeni!—1991 | Novemba 8
    • a Soko la nyama (Kigiriki, maḱel·lon): Duka lililouza nyama na samaki na pia vitu vingine vingi.—1 Wakorintho 10:25.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki