Ezekieli 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitamkataa* mtu huyo na kumfanya awe ishara ya kuonya na methali, nami nitamwangamiza kabisa kutoka kati ya watu wangu;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”’
8 Nitamkataa* mtu huyo na kumfanya awe ishara ya kuonya na methali, nami nitamwangamiza kabisa kutoka kati ya watu wangu;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”’