10 “‘Na mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu atakayekula namna yoyote ya damu,+ nitauweka uso wangu dhidi ya nafsi+ hiyo inayokula damu, nami hakika nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.
11 “Kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninakaza uso wangu juu yenu kwa ajili ya msiba na kwa ajili ya kukatilia mbali Yuda yote.+
7 Nami nimeukaza uso wangu juu yao.+ Wametoka motoni, lakini moto wenyewe utawateketeza.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova, nitakapouelekeza uso wangu juu yao.’ ”+