Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Na mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu atakayekula namna yoyote ya damu,+ nitauweka uso wangu dhidi ya nafsi+ hiyo inayokula damu, nami hakika nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.

  • Mambo ya Walawi 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 basi mimi nami nitaukaza uso wangu juu ya mtu huyo na familia yake,+ nami nitamkatilia mbali yeye na wote wanaofanya uasherati pamoja naye katika kufanya uasherati+ na Moleki watoke katikati ya watu wao.

  • Yeremia 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘“Kwa maana nimekaza uso wangu juu ya jiji hili kwa ajili ya msiba wala si kwa ajili ya mema,”+ asema Yehova. “Litatiwa mkononi mwa mfalme wa Babiloni,+ na hakika ataliteketeza kwa moto.”+

  • Amosi 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wakienda utekwani mbele ya adui zao, kutoka huko nitaamuru upanga, nao utawaua;+ nami nitaweka macho yangu juu yao kwa mabaya, wala si kwa mema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki