19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+
27 “‘“Lakini ikiwa hamtanitii kwa kuitakasa siku ya sabato na kutobeba mzigo,+ lakini mwingie nao kupitia malango ya Yerusalemu katika siku ya sabato, mimi pia nitawasha moto wa kuteketeza katika malango yake,+ nao hakika utaiteketeza minara ya makao ya Yerusalemu+ nao hautazimwa.”’”+
2 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Nenda, umwambie Sedekia mfalme wa Yuda,+ ndiyo, umwambie hivi: “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili mkononi mwa mfalme wa Babiloni,+ naye ataliteketeza kwa moto.+
10 Kwa maana ikiwa mngelipiga na kuliua jeshi lote la Wakaldayo wanaopigana nanyi+ na kati yao wabaki watu waliochomwa,+ kila mmoja wao angesimama katika hema lake na kuliteketeza jiji hili kwa moto.”’”