Zaburi 106:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nao wakawa wasio safi kwa sababu ya kazi zao+Na wakaendelea kufanya uasherati kwa matendo yao.+ Hosea 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nitamtoza hesabu+ kwa ajili ya siku za sanamu za Baali+ alizokuwa akifukizia moshi,+ wakati alipokuwa akijipamba kwa pete yake na pambo+ lake na kuwafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ naye alinisahau+ mimi,’ asema Yehova.
13 Nami nitamtoza hesabu+ kwa ajili ya siku za sanamu za Baali+ alizokuwa akifukizia moshi,+ wakati alipokuwa akijipamba kwa pete yake na pambo+ lake na kuwafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ naye alinisahau+ mimi,’ asema Yehova.