Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na hakika mimi nitauweka uso wangu juu yenu, nanyi hakika mtashindwa mbele ya adui zenu;+ nao wale wanaowachukia ninyi watawakanyagia chini,+ nanyi kwa kweli mtakimbia wakati ambapo hakuna mtu yeyote anayewafuatilia.+

  • Zaburi 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda yaliyo mabaya,+

      Ili kumbukumbu lao liondolewe mbali duniani.+

  • Yeremia 44:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninakaza uso wangu juu yenu kwa ajili ya msiba na kwa ajili ya kukatilia mbali Yuda yote.+

  • Ezekieli 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nimeukaza uso wangu juu yao.+ Wametoka motoni, lakini moto wenyewe utawateketeza.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova, nitakapouelekeza uso wangu juu yao.’ ”+

  • Amosi 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wakienda utekwani mbele ya adui zao, kutoka huko nitaamuru upanga, nao utawaua;+ nami nitaweka macho yangu juu yao kwa mabaya, wala si kwa mema.+

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki