5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+
23 Na wana wao ukawafanya kuwa wengi kama nyota za mbinguni.+ Kisha ukawaleta katika nchi+ ambayo ulikuwa umewaahidi mababu zao+ kwamba wanapaswa waingie na kuimiliki.