Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na itatukia kwamba, kwa sababu mnaendelea kusikiliza maamuzi haya ya hukumu na kuyashika na kuyatekeleza,+ Yehova Mungu wako atakutimizia lile agano+ na fadhili zenye upendo ambazo aliwaapia mababu zako.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova atakuondolea kila ugonjwa; na yale magonjwa mabaya ya Misri unayoyajua,+ hatayaweka juu yako, naye atayaweka juu ya wote wanaokuchukia.

  • Kumbukumbu la Torati 28:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Yehova atakupiga kwa jipu la Misri+ na bawasiri na ukurutu na upele wa ngozi, nawe hutaweza kupona magonjwa hayo.

  • Amosi 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Nilituma kati yenu ninyi tauni kama ile ya Misri.+ Niliwaua vijana wenu kwa upanga,+ pamoja na kuchukua mateka farasi zenu.+ Nami nikaendelea kufanya harufu ya kunuka ya kambi zenu ipande hata kuingia puani mwenu;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki