Kumbukumbu la Torati 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki. Kumbukumbu la Torati 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake. Nehemia 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wao wenyewe—wakati wa ufalme wao+ na katikati ya vitu vyako vingi vilivyo vyema+ ambavyo uliwapa na katika nchi pana na nono+ uliyowapa, hawakukutumikia+ wala kurudi kutoka katika mazoea yao mabaya.+
7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.
15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.
35 Na wao wenyewe—wakati wa ufalme wao+ na katikati ya vitu vyako vingi vilivyo vyema+ ambavyo uliwapa na katika nchi pana na nono+ uliyowapa, hawakukutumikia+ wala kurudi kutoka katika mazoea yao mabaya.+