Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na wana wa Israeli wakaendelea kumtumikia Egloni mfalme wa Moabu kwa miaka kumi na minane.+

  • Waamuzi 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wakawa wakipiga kambi juu yao na kuyaharibu mazao ya nchi mpaka Gaza, na hawakuruhusu mazao yoyote wala kondoo wala ng’ombe wala punda kubaki katika Israeli.+

  • Nehemia 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa sababu hiyo ukawatia mkononi mwa adui zao,+ walioendelea kuwataabisha;+ lakini wakati wa taabu yao walikuwa wakikulilia,+ nawe mwenyewe ulikuwa ukisikia kutoka mbinguni kwenyewe;+ nawe kulingana na rehema+ zako nyingi ukawapa waokozi+ waliowaokoa kutoka mkononi mwa adui zao.+

  • Zaburi 106:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na ili adui zao wapate kuwakandamiza,

      Na ili wapate kutiishwa chini ya mkono wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki