Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Usiviinamie wala kufanywa uvitumikie,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ ninayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la akina baba juu ya wana na juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+

  • Maombolezo 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Macho yangu yamechoka kabisa kwa machozi matupu.+ Matumbo yangu yako katika msukosuko.+

      Ini langu limemwagwa chini kabisa,+ kwa sababu ya anguko la binti ya watu wangu,+

      Kwa sababu ya kuzimia kwa mtoto mchanga na yule anayenyonya katika viwanja vya watu wote vya jiji.+

  • Maombolezo 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Simama! Lia wakati wa usiku mwanzoni mwa makesha ya kuamkia asubuhi.+

      Mwaga moyo+ wako mbele za uso+ wa Yehova kama maji.

      Mwinulie mikono+ yako kwa sababu ya nafsi ya watoto wako,

      Wanaozimia kwa sababu ya njaa kwenye sehemu ya mbele ya barabara zote.+

  • Maombolezo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mikono ya wanawake wenye huruma imetokosa watoto wao wenyewe.+

      Wamekuwa kama mkate wa kufariji mtu wakati wa kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+

  • Hosea 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana ingawa wanalea wana wao, mimi pia nitawaondolea watoto wao hata kusiwe na mtu;+ kwa sababu—ole wao pia nitakapogeuka kutoka kwao!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki