Zaburi 88:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 88 Ee Yehova, Mungu wa wokovu wangu,+Wakati wa mchana nimepaaza kilio,+Usiku pia, mbele zako.+ Danieli 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+
3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+