1 Wafalme 8:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Na ikawa kwamba mara tu Sulemani alipomaliza kusali kwa Yehova kwa sala hii yote na ombi la kutaka kibali, akasimama kutoka mbele ya ile madhabahu ya Yehova, hapo alipokuwa amepiga magoti+ na mikono yake ikiwa imenyooshwa kuelekea mbinguni;+
54 Na ikawa kwamba mara tu Sulemani alipomaliza kusali kwa Yehova kwa sala hii yote na ombi la kutaka kibali, akasimama kutoka mbele ya ile madhabahu ya Yehova, hapo alipokuwa amepiga magoti+ na mikono yake ikiwa imenyooshwa kuelekea mbinguni;+