20 Wana wako mwenyewe wamezimia.+ Wamelala chini kichwani pa barabara zote kama kondoo-mwitu katika wavu,+ kama wale ambao wamejaa ghadhabu ya Yehova,+ kemeo la Mungu wako.”+
16 “ ‘Nitakapotuma ile mishale yenye madhara ya njaa juu yao,+ itakayokuwa ya uharibifu, mishale ambayo nitatuma ili kuwaharibu ninyi,+ hata njaa nitaiongeza juu yenu nami nitazivunja fimbo zenu ambazo mikate ya mviringo huning’inizwa kuzizunguka.+