Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nao wataweka jina+ langu juu ya wana wa Israeli, ili mimi mwenyewe nipate kuwabariki wao.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+

  • Isaya 43:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova, “mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+ ili mjue+ na kuwa na imani katika mimi,+ na ili mwelewe kwamba mimi ni Yeye yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu yeyote aliyefanyizwa,+ na baada yangu hapakuendelea kuwapo yeyote.+

  • Isaya 63:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa muda mrefu tumekuwa kama watu ambao hukutawala juu yao, kama wale ambao jina lako halikuwa limeitwa juu yao.+

  • Danieli 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee Yehova, usikie.+ Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, sikiliza utende.+ Usikawie,+ kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya jiji lako na juu ya watu wako.”+

  • Matendo 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ili watu wanaobaki wamtafute Yehova kwa bidii, pamoja na watu wa mataifa yote, watu wanaoitwa kwa jina langu, asema Yehova, anayefanya mambo haya,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki