14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+
10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova, “mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+ ili mjue+ na kuwa na imani katika mimi,+ na ili mwelewe kwamba mimi ni Yeye yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu yeyote aliyefanyizwa,+ na baada yangu hapakuendelea kuwapo yeyote.+
19 Ee Yehova, usikie.+ Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, sikiliza utende.+ Usikawie,+ kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya jiji lako na juu ya watu wako.”+