Hesabu 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama! nimechukuliwa nibariki,Na Yeye amebariki,+ wala sitaigeuza.+ Zaburi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana wewe mwenyewe utambariki mtu yeyote aliye mwadilifu,+ Ee Yehova;Kana kwamba kwa ngao+ kubwa, utawazunguka pande zote+ kwa kibali chako. Zaburi 67:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mungu atatubariki,+Na miisho yote ya dunia itamwogopa yeye.+ Zaburi 115:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova mwenyewe ametukumbuka; atatoa baraka,+Ataibariki nyumba ya Israeli,+Ataibariki nyumba ya Haruni.+ Waefeso 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,
12 Kwa maana wewe mwenyewe utambariki mtu yeyote aliye mwadilifu,+ Ee Yehova;Kana kwamba kwa ngao+ kubwa, utawazunguka pande zote+ kwa kibali chako.
12 Yehova mwenyewe ametukumbuka; atatoa baraka,+Ataibariki nyumba ya Israeli,+Ataibariki nyumba ya Haruni.+
3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,