Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama! nimechukuliwa nibariki,

      Na Yeye amebariki,+ wala sitaigeuza.+

  • Zaburi 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana wewe mwenyewe utambariki mtu yeyote aliye mwadilifu,+ Ee Yehova;

      Kana kwamba kwa ngao+ kubwa, utawazunguka pande zote+ kwa kibali chako.

  • Zaburi 67:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mungu atatubariki,+

      Na miisho yote ya dunia itamwogopa yeye.+

  • Zaburi 115:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova mwenyewe ametukumbuka; atatoa baraka,+

      Ataibariki nyumba ya Israeli,+

      Ataibariki nyumba ya Haruni.+

  • Waefeso 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki