22 Kwa maana kulikuwa na wengi ambao walianguka wakiwa wameuawa, kwa sababu pigano lilikuwa la Mungu wa kweli.+ Nao wakaendelea kukaa mahali pao mpaka wakati wa ule uhamisho.+
36 Na malaika+ wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+