2 Mambo ya Nyakati 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Yehova akaendelea kuwa pamoja na Yehoshafati,+ kwa sababu alitembea katika njia za zamani za Daudi babu yake+ wala hakutafuta Mabaali.+ Zaburi 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,+Wala kwa uovu sikuondoka kwa Mungu wangu.+
3 Na Yehova akaendelea kuwa pamoja na Yehoshafati,+ kwa sababu alitembea katika njia za zamani za Daudi babu yake+ wala hakutafuta Mabaali.+