26 Basi wana wote wa Israeli,+ watu wote, wakapanda na kuja Betheli, wakalia+ na kukaa hapo mbele za Yehova nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni, wakatoa matoleo ya kuteketezwa+ na matoleo ya ushirika+ mbele za Yehova.
14 Takaseni wakati wa kufunga.+ Iteni kusanyiko kuu.+ Kusanyeni pamoja wanaume wazee, wakaaji wote wa nchi, kwenye nyumba ya Yehova Mungu wenu,+ mlilieni Yehova awape msaada.+