1 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+ Nehemia 12:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Nao wakatoa dhabihu kubwa+ siku hiyo na kushangilia,+ kwa maana Mungu wa kweli alikuwa amewafanya washangilie kwa shangwe+ kubwa. Na pia wanawake+ na watoto+ wakashangilia, hata kushangilia kwa Yerusalemu kukasikika mbali sana.+ Zaburi 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tutapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya wokovu wako,+Nasi tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+Yehova na atimize maombi yako yote.+ Zaburi 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nitakutukuza wewe, Ee Yehova, kwa maana umeniinua+Nawe hukuwaruhusu adui zangu washangilie juu yangu.+
2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+
43 Nao wakatoa dhabihu kubwa+ siku hiyo na kushangilia,+ kwa maana Mungu wa kweli alikuwa amewafanya washangilie kwa shangwe+ kubwa. Na pia wanawake+ na watoto+ wakashangilia, hata kushangilia kwa Yerusalemu kukasikika mbali sana.+
5 Tutapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya wokovu wako,+Nasi tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+Yehova na atimize maombi yako yote.+
30 Nitakutukuza wewe, Ee Yehova, kwa maana umeniinua+Nawe hukuwaruhusu adui zangu washangilie juu yangu.+