Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye Hana akasali+ na kusema:

      “Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+

      Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+

      Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,

      Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+

  • Nehemia 12:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Nao wakatoa dhabihu kubwa+ siku hiyo na kushangilia,+ kwa maana Mungu wa kweli alikuwa amewafanya washangilie kwa shangwe+ kubwa. Na pia wanawake+ na watoto+ wakashangilia, hata kushangilia kwa Yerusalemu kukasikika mbali sana.+

  • Zaburi 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tutapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya wokovu wako,+

      Nasi tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+

      Yehova na atimize maombi yako yote.+

  • Zaburi 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nitakutukuza wewe, Ee Yehova, kwa maana umeniinua+

      Nawe hukuwaruhusu adui zangu washangilie juu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki