1 Wafalme 22:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Wakati huo ndipo Ahazia mwana wa Ahabu alipomwambia Yehoshafati: “Acha watumishi wangu waende na watumishi wako katika hizo meli,” lakini Yehoshafati hakukubali.+ 1 Wakorintho 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.+
49 Wakati huo ndipo Ahazia mwana wa Ahabu alipomwambia Yehoshafati: “Acha watumishi wangu waende na watumishi wako katika hizo meli,” lakini Yehoshafati hakukubali.+