Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Ahazia akaanguka chini+ kupitia tundu lililo katika chumba chake cha darini+ kilichokuwa katika Samaria, naye akawa mgonjwa. Kwa hiyo akatuma wajumbe, akawaambia: “Nendeni, muulizeni+ Baal-zebubu+ mungu wa Ekroni+ ikiwa nitapona ugonjwa huu.”+

  • 2 Wafalme 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha akamwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umewatuma wajumbe+ kumuuliza Baal-zebubu mungu wa Ekroni,+ je, ni kwa sababu hakuna Mungu kabisa katika Israeli wa kuuliza neno lake? Basi hutashuka kutoka katika kitanda ambacho umepanda, kwa maana utakufa hakika.’”

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sasa Yehu+ mwana wa Hanani+ mwonaji+ akaenda mbele yake na kumwambia Mfalme Yehoshafati: “Je, waovu wanapaswa kupewa msaada,+ na je, unapaswa kuwapenda+ wale wanaomchukia+ Yehova? Kwa sababu hiyo kuna ghadhabu+ juu yako inayotoka mbele za uso wa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki