2 Wafalme 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye malaika+ wa Yehova akamwambia Eliya, Mtishbi:+ “Ondoka, nenda ukutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaambie, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu+ kabisa katika Israeli ndipo mnaenda kumuuliza Baal-zebubu mungu wa Ekroni?
3 Naye malaika+ wa Yehova akamwambia Eliya, Mtishbi:+ “Ondoka, nenda ukutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaambie, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu+ kabisa katika Israeli ndipo mnaenda kumuuliza Baal-zebubu mungu wa Ekroni?