15 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia Eliya: “Shuka, uende pamoja naye. Usiogope kwa sababu yake.”+ Basi akasimama, akashuka na kwenda pamoja naye kwa mfalme.
26 Hata hivyo, malaika+ wa Yehova akasema na Filipo, akamwambia: “Ondoka uende upande wa kusini kwenye barabara inayoshuka kutoka Yerusalemu mpaka Gaza.” (Hii ni barabara ya jangwani.)