Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia Eliya: “Shuka, uende pamoja naye. Usiogope kwa sababu yake.”+ Basi akasimama, akashuka na kwenda pamoja naye kwa mfalme.

  • Matendo 8:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Hata hivyo, malaika+ wa Yehova akasema na Filipo, akamwambia: “Ondoka uende upande wa kusini kwenye barabara inayoshuka kutoka Yerusalemu mpaka Gaza.” (Hii ni barabara ya jangwani.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki