Zaburi 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova, nimependa makao ya nyumba yako+Na mahali ambapo utukufu wako hukaa.+ Zaburi 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—Ndilo nitakalolitafuta,+Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+Ili kuuona uzuri wa Yehova+Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+ Zaburi 122:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 122 Nilishangilia walipokuwa wakiniambia:+“Na twende+ katika nyumba ya Yehova.”+
4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—Ndilo nitakalolitafuta,+Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+Ili kuuona uzuri wa Yehova+Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+