1 Mambo ya Nyakati 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, Mfalme Daudi akamwambia Ornani: “Hapana, bali bila shaka nitaununua kwa pesa kamili,+ kwa sababu sitachukua kilicho chako nimpe Yehova ili kutoa matoleo ya kuteketezwa bila gharama.” Methali 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani+ na kwa matunda ya kwanza ya mazao yako yote.+
24 Hata hivyo, Mfalme Daudi akamwambia Ornani: “Hapana, bali bila shaka nitaununua kwa pesa kamili,+ kwa sababu sitachukua kilicho chako nimpe Yehova ili kutoa matoleo ya kuteketezwa bila gharama.”