-
Ezra 4:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Maadui wa Yuda na Benjamini+ waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni+ walikuwa wakimjengea hekalu Yehova Mungu wa Israeli, 2 mara moja wakamfikia Zerubabeli na viongozi wa koo* na kuwaambia: “Acheni tujenge pamoja nanyi; kwa maana, sisi pia tunamwabudu* Mungu wenu+ na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu siku za Mfalme Esar-hadoni+ wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”+
-