Isaya 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kuna wale wanaotoa dhahabu kwa wingi katika kikoba, nao hupima fedha kwa mizani. Wanamwajiri fundi wa chuma, naye huifanya kuwa mungu.+ Wanasujudu, ndiyo, wanainama.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 46:6 ip-2 99 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 46:6 Unabii wa Isaya II, uku. 99
6 Kuna wale wanaotoa dhahabu kwa wingi katika kikoba, nao hupima fedha kwa mizani. Wanamwajiri fundi wa chuma, naye huifanya kuwa mungu.+ Wanasujudu, ndiyo, wanainama.+