8 Wote hawatumii akili nao ni wajinga.+
Mafundisho kutoka kwa mti ni udanganyifu mtupu.+
9 Mabamba ya fedha huletwa kutoka Tarshishi+ na dhahabu kutoka Ufazi,
Kazi ya fundi, ya mikono ya mhunzi.
Mavazi yao ni nyuzi za bluu na sufu ya zambarau.
Vyote hutengenezwa na wafanyakazi stadi.