Mambo ya Walawi 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na kutoka katika kusanyiko la wana wa Israeli+ atachukua wana-mbuzi dume wawili kwa ajili ya toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+
5 “Na kutoka katika kusanyiko la wana wa Israeli+ atachukua wana-mbuzi dume wawili kwa ajili ya toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+