Mambo ya Walawi 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye ataoga mwili wake katika maji+ katika mahali patakatifu+ na kuvaa mavazi+ yake na kutoka nje na kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na toleo la kuteketezwa la watu+ na kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu.+ 1 Yohana 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+
24 Naye ataoga mwili wake katika maji+ katika mahali patakatifu+ na kuvaa mavazi+ yake na kutoka nje na kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na toleo la kuteketezwa la watu+ na kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu.+
2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+