33 Nawe utaliweka pazia chini ya kulabu na kulileta sanduku la ushuhuda+ ndani ya hilo pazia; nalo pazia litawatenganishia Patakatifu+ na Patakatifu Zaidi.+
7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.