Mambo ya Walawi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini yule mbuzi aliyechaguliwa kwa kura kuwa wa Azazeli anapaswa kupelekwa akiwa hai mbele za Yehova ili dhabihu ya kufunika dhambi itolewe juu yake, kusudi aachiliwe aende zake nyikani+ akiwa wa Azazeli. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:10 Ufahamu, kur. 225-226 Mnara wa Mlinzi,3/1/1989, kur. 16-17
10 Lakini yule mbuzi aliyechaguliwa kwa kura kuwa wa Azazeli anapaswa kupelekwa akiwa hai mbele za Yehova ili dhabihu ya kufunika dhambi itolewe juu yake, kusudi aachiliwe aende zake nyikani+ akiwa wa Azazeli.